Header Ads Widget

Ticker

6/recent/ticker-posts

Yaliyojiri wakati wa ziara ya Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi Katika Jimbo la California

 Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na mkewe Mama Khadija Mwinyi wakifurahia mashada ya  maua wanayopewa baada ya kuwasili California.
 Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mama Khadija Mwinyi katika picha ya pamoja na wadhamini wa sherehe za uhuru California zilizofanyika katika Jiji la Oakland.
 Rais Mstaafu akipeana mikono  na Meya wa Jiji la Vallejo Bw Osby Davis
  Rais Mstaafu katika picha ya pamoja na Viongozi wa Jiji la Vallejo
Rais Mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi na Mama Khadija Mwinyi katika picha ya pamoja na walimu na wanafunzi wa Kiswahili katika chuo kikuu cha Berkeley CA, kulia chini ni balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula.

Post a Comment

0 Comments