Mheshimiwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof. Anna Tibaijuka (katikati) akiingia kwenye ukumbi wa Hyatt Kilimanjaro hotel, katika hafla ya kutia saini mikataba ya mikopo kati ya taasisi tisa fedha na Shirika la Nyumba la Taifa, kulia ni Mwenyekiti wa Bodi wa NHC Mhandisi Kesogukewele Msita, na kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa NHC Ndg. Nehemia K. Mchechu.
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Benki Tanzania ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki ya NBC Ndg. Lawrence Mafuru akizungumza wakati wa halfa ya kutia saini mikataba ya mikopo kati ya taasisi tisa za fedhana Shirika la Nyumba la Taifa.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Tanzania, Ndg. Nehemiah Mchechu pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa BancABC, Ndg.Boniface Nyoni wakitia saini ya makubaliano kutoa mikopo kati ya benki yake na Shirika la Nyumba la Taifa .Wanaoshuhudia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof Anna Tibaijuka , Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Bi. Maria Bilia na Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba ,Mhandisi Kesogukewele Msita. Hafla hii ilifanyika kwenye hoteli ya Hyatt Kilimanjaro Hotel, jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba Tanzania, Ndg. Nehemiah Mchechu pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa CBA, Ndg. Yohanne Kaduma wakitiliana saini ya makubaliano kutoa mikopo kati ya benki yake na Shirika la Nyumba la Taifa .Wanaoshuhudia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof Anna Tibaijuka , Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Bi. Maria Bilia na Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba ,Mhandisi Kesogukewele Msita. Hafla hii imefanyika kwenye hoteli ya Hyatt Kilimanjaro,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba Tanzania, Ndg. Nehemiah Mchechu pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB, Dr. Charles Kimei wakitia saini ya makubaliano kutoa mikopo kati ya benki yake na Shirika la Nyumba la Taifa .Wanaoshuhudia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof Anna Tibaijuka , Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Bi. Maria Bilia na Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba ,MhandisiKesogukewele Msita. Hafla hii imefanyika kwenye hoteli ya Hyatt Kilimanjaro,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba Tanzania, Ndg. Nehemiah Mchechu pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa LAPF, Ndg. Eliudi Sanga wakitia saini ya makubaliano kutoa mikopo kati ya Taasisi yake na Shirika la Nyumba la Taifa .Wanaoshuhudia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof Anna Tibaijuka , Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Bi. Maria Bilia na Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba ,MhandisiKesogukewele Msita. Hafla hii imefanyika kwenye hoteli ya Hyatt Kilimanjaro,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba Tanzania, Ndg. Nehemiah Mchechu akimkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa LAPF, Ndg. Eliudi Sanga mkataba wa makubaliano kutoa mikopo kati ya taasisi yake na Shirika la Nyumba la Taifa .Wanaoshuhudia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof Anna Tibaijuka , pamoja na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Bi. Maria Bilia na Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba ,Mhandisi Kesogukewele Msita. Hafla hii imefanyika kwenye hoteli ya Hyatt Kilimanjaro,jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Nyumba Tanzania, Ndg. Nehemiah Mchechu pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Shelter Afrique, Ndg. Alassane Ba wakitiliana saini ya makubaliano kutoa mikopo kati ya benki yake na Shirika la Nyumba la Taifa .Wanaoshuhudia ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof Anna Tibaijuka , Naibu Katibu Mkuu wa Wizara Bi. Maria Bilia na Mwenyekiti wa Bodi wa Shirika la Nyumba ,Mhandisi Kesogukewele Msita. Hafla hii imefanyika kwenye hoteli ya Hyatt Kilimanjaro,jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wajumbe wa Bodi ya Shirika la Nyumba la Taifa, kushoto ni Prof. Tumsifu Nnkya na Bi. Shally Raymond wakati wa halfa ya kutia saini mikataba ya mikopo kati ya taasisi tisa za fedhana Shirika la Nyumba la Taifa.
kwa taarifa zaidi za Shirika la Nyumba la Taifa,Tembelea Tovuti yao kwa Kubofya Hapa au Ukurasa wao katika mtandao wa Kijamii wa Facebook kwa kubofya hapa

1 Comments
Unatafuta kampuni halisi ya mkopo wa kifedha ili kupata mkopo wa euro 10,000 hadi euro 10,000,000 (kwa mikopo ya biashara au biashara, mikopo ya kibinafsi, mikopo ya kibinafsi, mikopo ya nyumba, mikopo ya gari, mikopo ya uimarishaji wa madeni, mikopo ya mtaji wa mradi, mikopo ya afya nk. ))Au ananyimwa mkopo kutoka benki au taasisi ya fedha kwa sababu yoyote ile?Tuma ombi sasa na upate mkopo halisi wa kifedha. Imechakatwa na kuidhinishwa ndani ya siku 3. KAMPUNI YA PACIFIC FINANCIAL MKOPO
ReplyDeleteSisi ni wakopeshaji wa mkopo wa kimataifa ambao hutoa fedha halisi kwa watu binafsi na makampuni kwa riba ya chini ya 2% tukiwa na kitambulisho halali au pasipoti ya kimataifa ya nchi yako ili kuthibitishwa. Malipo ya mkopo huanza saa 1 (moja) baada ya mkopo kupokelewa. na muda wa kulipa ni miaka 3 hadi 35.
Kwa jibu la haraka na kushughulikia ombi lako la mpaka ndani ya siku 2 za kazi
Wasiliana nasi moja kwa moja kupitia barua hii: pacififinancialloanfirm@gmail.com
Wasiliana nasi kwa maelezo yafuatayo:
Jina kamili: ____________________________
Kiasi cha pesa kinachohitajika kama mkopo: _______________
Muda wa mkopo: ___________________________________
Madhumuni ya mkopo: ____________________
Siku ya kuzaliwa: ___________________________________
Jinsia: ______________________________
Hali ya Ndoa: ___________________________________
Anwani ya mawasiliano: ___________________________________
Mji / Msimbo wa Eneo: ___________________________________
Nchi: ______________________________
Kazi: ___________________________________
Simu ya rununu: __________________________
Tuma ombi lako la jibu la haraka kwa: pacififinancialloanfirm@gmail.com
asante
Afisa Mtendaji Mkuu :Pen Fed VICTORIA JOHNSON